Habari Mpya
Mabaunsa Simba washikana mashati na waandishi
Zogo limeibuka kati ya waandishi wa habari na mabaunsa wa Simba. Wachezaji wa Simba walitumia mlango unaotumiwa na waandishi wa habari halafu wakawazuia waandishi...
Yanga wanakula hizo…
Kuelekea mechi ya #WataniWaJadi shabiki wa kihindi wa Simba anasema Yanga wanakula 4 leo.
Angalia video #YouTube kupitia #DaudaTV bofya PLAY▶kuangalia video mwanzo mwisho hapa...
Mashabiki wa Simba wabeba jeneza Yanga
Vituko vya #WataniWaJadi Mapema tu watu wamebeba jeneza wanaenda kwenye mazishi.
#YangaVsSimba #LigiKuuTanzaniaBara
Angalia video #YouTube kupitia #DaudaTV bofya PLAY▶kuangalia video mwanzo mwisho hapa chini👇
https://youtu.be/9tcFkzFZwss
Yanga waingia uwanjani kwa style ya aina yake
Kiosi cha Yanga kimewasili kwa style ya aina yake uwanja wa taifa kwa ajili ya mchezo wa watani wa jadi. Yanga wametumia basi dogo...
Eneo gani uwanjani litaamua mechi ya watani wa jadi?
Shaffih Dauda
Naiona mechi ikiamuliwa katikati ya uwanja (eneo la midfield) Simba ni timu inayicheza mpira kuanzia nyuma wanapiga pasi na kutawala eneo la katikati.
Changamoto...
Geoff Lea anaiangalia Yanga kwa jicho la tatu
Ni vigumu sana kwa mtu anayeangalia mpira na kuufuatilia halafu haendeshwi na hisia anaweza kuipa kuipa nafasi kubwa Yanga kushinda mechi dhidi ya Simba...
Yanga inaingia kama UNDERDOG
Ukiangalia Simba kwa upande wa squad, mwendelezo wa matokeo lakini pia mazingira kuelekea kwenye mechi Simba wametoka kwenye mazingira ambayo inawezekana ikawa ni faida...
#YangaVsSimba ni vita ya NIKKI WAPILI VS JOH MAKINI
Mechi ya watani wa jadi #YangaVsSimba huwa inaigawa familia ya wasanii wanaounda kundi la #Weusi Joh Makini na Nikki Wapili.
Joh Makini amefata upande wa...
Stamina anakwambia Simba wanakula 5
Kumbe mkali wa BongoFleva Stamina ni Yanga wa kulialia lakini wakati anacheza soka aliwahi kucheza na Mkude na Kichuya ambao baadaye walijiunga na Simba.
Stamina...
“Nahisi kutapika nikisikia KWA MCHINA”-Mwakyembe
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe amepiga vita uwanja wa taifa kuitwa KWA MCHINA kama ambavyo imeanza kuzoeleka siku za...
Kimataifa
Eto’o agoma kustaafu soka
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon Samuel Eto'o amenukuliwa na mtandao wa BBC akisema, ataendelea kucheza na hana wazo la kustaafu...
Castle Lager yawafungulia bonge la fursa wachezaji Bongo
Mashindano ya Castle Lager 5 msimu wa pili yamezinduliwa rasmi leo Afrika Kusini katika jiji la Johannesburg ambayo ni mashindano ya mpira wa miguu...
Dokumentari
Kitaifa
Mabaunsa Simba washikana mashati na waandishi
Zogo limeibuka kati ya waandishi wa habari na mabaunsa wa Simba. Wachezaji wa Simba walitumia mlango unaotumiwa na waandishi wa habari halafu wakawazuia waandishi...