URUSINI: taarifa za Croatia Vs Nigeria
Leo jumamosi tunaangalia tena mchezo wa kundi D kati ya Croatia V Nigeria, mchezo ambao utachezwa majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za...
URUSINI: Hakuna uchawi wa kumzuia Messi
Iceland itakuwa taifa dogo kabisa katika fainali za kombe la dunia watakapokutana na Argentina in Moscow.
Kiungo wa Iceland Gylfi Sigurdsson anatarajia kurejea uwa jani...
Kumchukia Cr7 ni kujitesa, apiga hattrick ya kwanza kombe la dunia
Ilimchukua Cristiano Ronaldo dakika 4 kuiandikia Ureno bao la kwanza kwa mkwaju wa penati, bao hili limemfanya Cr7 kuungana na Pele, Miroslav Klose na...
URUSINI: Tathimini ya mchezo wa Morocco vs Iran
Naam hii ndio Eid Mubaraka. Imekuja tofauti na mawazo ya wengi. Kwa bahati nzuri ulikuwa mpambano maustazi wa Kiran na wale kutoka milima ya...
URUSINI: Misri wamepata nafasi za kizungu wakazitumia kiafrika.
Bila shaka ukizungumzia moja ya safu ya ulinzi bora na imara Misri wanaweza kuwekwa kundi hilo. Hawajufungwa zaidi ya bao moja katika michuano ya...
Chief wa Kauzu anaamini ubingwa wa kombe la dunia 2018 unakuja Afrika
Ebwana eeeh wale watu wadau wa Ndondo Cup unapozungumzia Chief wa Kauzu si jina ambalo wanaweza kukuuliza mara mbili unamzungumzia nani, sasa Chief wa...
Geoof Lea awapa kombe la dunia 2018 Messi, Neymar, England wajipange
Mchambuzi wa masuala ya michezo Geoff Lea kutoka mjengoni Clouds Media Group ni fan mkubwa wa timu ya taifa ya England maarufu kama The...
URUSINI: Je Ronaldo atafuta uteja?
Jana tarehe 14 mwezi juni Fainali za kombe la Dunia zilifunguliwa na wenyeji Urusi wakipata ushindi wa goli 5-0 dhidi ya Saudi Arabia ,Michezo...
Mambo na vijimambo ufunguzi kombe la dunia 2018
Mechi ya ufunguzi kati ya mwenyeji Urusi na Saudi Arabia ilishuhudia mwenyeji Urusi ikishinda 5-0 lakini kuna vijimambo ambavyo vilikuwa vinaendelea nje ya pitch...
URUSINI: Ramos vs Ronaldo, taarifa zote muhimu za Ureno vs Hispania
Mpambano huu utapigwa kayika kiwanja cha Fisht Olympic Stadium kule Sochi.
Wachezaji wanne wa kocha mkuu wa Ureno Bwana Fernando Santos wamevunja mikataba yao na...
Tukio zima la ufunguzi wa World Cup hili hapa
Hayawayi hayawi sasa yamekuwa. Ndio. Ni zile Sherehe za ufunguzi wa Kombe la dunia Kule nchini Urusi. Ni muda wa kusahau makeke yaliyofanyika zile...
Mkwanja watakaoingiza FIFA kombe la dunia kufanyikia USA, Canada na Mexico
Story zinazohusu kombe la dunia ambazo zili-make headline jana ni Rais wa chama cha soka cha Hispania kumtimua kocha wao wa timu ya Julen...
Morocco walivyopigwa kikumbo na USA kuandaa kombe la dunia
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye hii leo nchi za Canada, USA na Mexico zimeshinda dhabuni ya kuandaa michuano ya kombe la dunia...
Mataifa matatu kuandaa kombe la dunia mwaka 2026
kikao cha mwisho cha FIFA kilifantika jumatano hii na kufanya maamuzi ya mwisho juu ya ni yupi atakayeandaa kombe la dunia mwaka 2026. Timu...
Mzee Akilimali, Joti, Msuva na mastaa wengine wataja timu wanazoshabikia katika World Cup
Kuna taarifa zinadai Eden Hazard ataishabiki timu ya taifa ya Misri kwa ajili ya kumpa hamasa zaidi Mo Salah.
Wewe unashabiki timu gani kwani? Na...
Shaffih Dauda in Russia na unayotakiwa kufahamu kuelekea WC2018
Jana asubuhi baada ya kutoka kwenye mwaliko wa ubalozi wa Tanzania nchini Urusi niliondoka na kuelekea kwenye mji wa St. Petersburg na kwa mara...
Tigo na StarTimes wanakuletea kombe la dunia kiganjani mwako
Mashabiki wa soka nchi nzima wana sababu ya kushangilia kufuatia ushirikiano mkubwa kati ya Tigo Tanzania na StarTimes utakaowezesha Watanzania kutazama 'laivu' kwenye simu...
Mats Hammels amemdharau sana Leroy Sane
Leroy Sane ameachwa. Maswali mengi yamejaa akilini mwa wapenzi wengi wa Soka. Hili suala limekuja na sura tofauti. Ballack amesema sio fea kabisa. Kyle...
Rais Huyu Kuhudhuria Ufunguzi Wa Kombe La Dunia
Na: DANIEL S.FUTE
RAIS wa Azerbaijan Mheshimiwa Ilham Aliyev, amethibitisha kauli yake kwamba yeye atakuwa mmoja wa viongozi ambaye atahudhuria sherehe za ufunguzi wa fainali...
siku 3 kuelekea Urusi, majeruhi yazidi kukiandama kikosi cha Argentina
Na Elizabeth lyavule.
vijana wa kocha Jorge Sampaoli wameshawasili nchini Urusi tayari kwa michuano ya kombe la dunia huku karata yao ya kwanza wakitegemea kuitupa...