RUS 2018: Ni Hazard au Neymar
Leo jumamosi, kutakuwa na mechi ya pili ya robo fainali, ya kombe la dunia, kati ya Brazil na Belgium, itakayochezwa Kazan majira ya saa...
Shaffih Dauda kataja sababu za Ubelgiji kupotea kwa wafaransa
Jana Jumanne July 10, 2018 ilichezwa nusu fainali ya kwanza ya kombe la dunia ambapo Ufaransa ilishinda 1-0 mbele ya Ubelgiji kwenye uwanja wa...
Messi, CR7, Bale, Buffon, Sanchez na mastaa wengine ambao huenda wakaangalia World Cup kwenye...
Hatua ya kufuzu kucheza kombe la dunia mwaka 2018 inakaribia kumalizika, lakini kuna uwezekano mkubwa wachezaji wenye majina makubwa wakaikosa michuano hii mikubwa zaidi...
URUSINI: Mtanzania atakata kombe la dunia kule Urusi, ampiku Messi kwa Magoli
Wakati Sanchez na Icard wakiangalia mpira kwenye TV, fahamu kuna mtanzania anakichafua huko Urusi kama hana akili nzuri. Anaitwa Yussuf Yurary Poulsen aliyezaliwa 15...
URUSINI: Tuliyoyaona kwa Messi na wenzake
Argentina kuna shida gani tena? Wazungu wanasema Iceland ni Surprise Package. Yaan tunaita kibubu cha kushtukiza. Kitu kisichotarajiwa. Iceland wameishangaza dunia. Wamejitahiddi kuhahakikisha wamemdhibiti...
Road 2 Russia: Hii sio ya kukosa kabisa
MAJINA YA UTANI KOMBE LA DUNIA 2018
Argentina - La Albiceleste (White and Sky Blues)
yaani mawingu meupe na ya buluu. Kikwetu tunasema mambo ni shwari.
Australia...
Tiketi ya Bombadia: Addidas na Nike watambiana ubora wa viatu
*Safari Ya Urusi....*
KUELEKEA fainali za Kombe la Dunia. Kampuni inayoshughulika na uundaji wa vifaa vya michezo 'NIKE', imetoa aina ya viatu ambavyo vitazinduliwa na...
URUSINI: taarifa za Croatia Vs Nigeria
Leo jumamosi tunaangalia tena mchezo wa kundi D kati ya Croatia V Nigeria, mchezo ambao utachezwa majira ya saa 4:00 usiku kwa saa za...
PSG yawazima Cr7 na Lionel Messi, sasa kazi kwa Neymar
Washambuliaji wawili wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa Kylian Mbappe pamoja na Edison Cavanni wamewatoa nje ya michuano ya kombe la dunia nyota...
RUS 2018: Hawa Croatia watapata tabu sana kuwazuia England
Jason Burt, mwandishi wa kujitegemea wa The Guardian ameweka karata yake kwa Raheem Sterling kuwa atawasumbua zaidi Croatia.
Ni kweli, kumekuwa na muunganiko mzuri wa...
RUS 2018: Mgawanyo mzima wa fedha kombe la dunia! Bingwa anapewa kiasi gani!
Ubelgiji na England wamegombania £18 milioni. Mchezo wa leo binafsi umeboa wengi. Wengi wamesema bora kuangalia katuni. Ulikuwa mchezo wa walioshindwa. Ile hari ya...
RUS 2018: Messi anadaiwa na bibi yake.
Leo ndio leo tutajua hatma ya Leo Andreis Messi Cuccittin katika kombe la dunia. Juzi Messi alisheherekea siku yake ya kuzaliwa. Baada ya kukosa...
RUS 2018: Uchambuzi kuelekea mechi ya fainali ya Ufaransa Vs Croatia
Kuna mtu anaitwa Mark Ogden. Ametoa mtazamo wake kuhusu mshindi wa kombe la dunia.
Kule MOSCOW ndani ya Luzhniki Stadium kombe la dunia linafikia ukingoni.
Odgen...
Kumchukia Cr7 ni kujitesa, apiga hattrick ya kwanza kombe la dunia
Ilimchukua Cristiano Ronaldo dakika 4 kuiandikia Ureno bao la kwanza kwa mkwaju wa penati, bao hili limemfanya Cr7 kuungana na Pele, Miroslav Klose na...
Watoto wawili kuiwakilisha Tanzania kombe la Dunia Russia 2018
Programu ya Football for Friendship (F4F) 2018 inabadilisha ndoto ya kombe la Dunia la FIFA kuwa kweli kwa Zipora Mollel pamoja na Laigwanani Lomayani...
Unajipanga kuja Russia kwenye World Cup? Hizi ndio gharama za tiketi, usafiri, malazi, vyakula...
Huenda ukawa unatamani kuwa sehemu ya mamilioni ya wapenzi wa soka watakaofika nchini Russia kushuhudia michuano mikubwa zaidi ya soka duniani. Umebakia muda mfupi
sana...
HBD Messi: Simulizi kwa ufupi kuhusu historia ya Messi
Messi aliishi kwenye nyumba iliyojengwa na Baba kwa kushirikiana na Babu yao. Nyumba hii ilijengwa kwa mikono ya Wazazi wao wenyewe. Nimezikumbuka zile nyumba...
Road2Russia: Je wajua? Pata vifurushi hapa
Na Melkizedeck Mbise.
Mchezaji mkubwa kiumri kufunga goli katika historia ya kombe la Dunia ni mchezaji wa zamani wa Cameroon, Roger Milla ambapo alifunga akiwa...
Sio ya kukosa: Takwimu zote za kombe la dunia hizi hapa
Tunafunga kombe la dunia kama ifuatavyo.
Jumla ya Mechi= 64
Idadi ya - 169 (2.64 kwa mechi)
Wafungaji bora:⚽⚽⚽
1. H. Kane (England) - 6
2. K. Mbappé (France)...
Huyu ndiye Mwamuzi mbovu kuwahi kutokea kombe la dunia
Ukiachilia mbali kasumba la Mike Oliver kuwabeba Juventus, mnamo mwaka 1969 katika mji wa Quito mtoto wa kiume alizaliwa katika familia ya zee Moreno.
Tarehe...