Manara akosoa ‘uhasimu’ Simba, Yanga
Kuelekea pambano la Simba vs Yanga leo Jumapili Aprili 29, 2018 Afisa habari wa Simba Haji Manara ametolea ufafanuzi neno ambalo limezoeleka kuitaja mechi...
ALICHOKISEMA JULIO BADA YA KICHAPO CHA TOTO AFRICANS
Baada ya Mwadui FC kupoteza mchezo wake wa kwanza kwenye ligi kuu Tanzania bara kwa kichapo kutoka kwa Toto Africans, kocha wa kikosi cha...
KWA NAFASI WALIYOPO, MASTAA MWADUI FC WANASTAHILI MIKATABA MIPYA?
Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam
Baada ya kulazimishwa suluhu-tasa na Majimaji FC katika uwanja wake wa nyumbani (Mwadui Complex) siku ya Jumatano, timu ya...
Video-Mashabiki wa Simba walivyoigombea jezi ya Lipuli
Shabiki mmoja wa Simba almanusura avuliwe jezi yake ya Lipuli na mashabiki wenzake wa Simba ambao hawakutaka kabisa kuiona jezi ya Lipuli.
Katika timu zote...
SIMBA YAMPA KERR MKONO WA KWAHERI, KOCHA MPYA AKABIDHIWA TIMU
Uongozi wa klabu ya Simba SC umevunja mkataba na aliyekuwa kocha mkuu wa kikosi cha 'wana Msimbazi' Dylan Kerr pamoja na kocha wa makipaIddi...
Mechi 6 bila ushindi dhidi ya Toto, Simba itafaulu kuvunja mfupa?
Katika timu ambazo zimekuwa vikwazo kwa Mnyama Simba basi Toto Africa ni miongoni mwa hizo timu, Simba imekuwa ikishindwa kufurukuta mbele ya ‘wana-kisha mapanda’...
Pluijm akumbana na rungu la TFF
Kocha wa Yanga, Hans van Pluijm amepigwa faini ya sh. 500,000 na kufungiwa mechi tatu baada ya wakati wa mapumziko kuwazonga waamuzi na kuwatolea...
JULIO: HATA TUNGECHEZA DAKIKA 600 TUSINGESHINDA
Kocha wa Mwadui FC ya mkoani Shinyanga Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amewageukia waamuzi wa mchezo wa African Sports vs Mwadui FC na kuwatuppia mzigo wa...
Machache kuhusu Kaseke ndani na nje ya Yanga
Yahaya Mohamed ‘Mkazuzu’ alikutana na kiungo mshambuliaji wa Yanga Deusi Kaseke amabaye alisajiliwa kutokea Mbeya City. Amepiga nae stori na nyota huyo ambaye pia...
Hii ndiyo njia sahihi ya Bossou na Dante wanayoweza kuwatuliza, Ajib, Mavugo…
Na Baraka Mbolembole
VICENT Andrew na Vicent Bossou ni wazi watacheza kama 'walinzi-pacha' katika safu ya ulinzi ya Yanga SC siku ya Jumamosi katika pambano...
“This is Simba and that is Okwinho”-Haji Manara
Kama unavyojua Haji Manara anapenda kutamba hususan pale timu yake inapopata matokeo uwanjani, sasa amekuja na jingine tena baada ya Okwi kuweka kamabani bao...
Mwamuzi aliyepewa Simba vs Yanga amewahi kufungiwa kwa kuvurunda mechi
Mwamuzi Mathew Akrama wa Mwanza ndiye aliyepewa jukumu la kuamua mchezo wa Simba na Yanga siku ya Jumamosi February 25, 2017 akisaidiwa na line...
Video-Kocha mpya wa Simba amezungumza kwa mara ya kwanza
Leo Ijumaa Januari 19, 2018 uongozi wa klabu ya Simba chini ya Rais 'Try again' umemtambulisha rasmi kocha wao mpya Pierre Lechantre raia wa Ufansa...
Azam imecheza mechi 7 VPL bila ushindi
Azam FC imemeshachezaji mechi saba za ligi kuu Tanzania bara bila ushindi baada ya leo kulazimisha sare ya kufungana 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar...
SELEMBE: STAND UNITED WAMENIPA OFA MPYA, NAENDA
Na Baraka Mbolembole
KIUNGO mshambulizi wa timu ya Taifa ya Zanzibar, Suleimani Kassim 'Selembe' amemaliza mkataba wake kama mchezaji wa Stand United lakini anajiandaa kukatisha...
YANGA MBELE KWA MBELE
Yanga imeendelea kushinda mechi zake za ligi kuu Tanzania bara baada ya kuifunga Toto Africans ya jijini Mwanza kwa magoli 2-1 kwenye uwanja wa...
SIMBA YAMUWASHIA KESSY TAA YA KIJANI KWENDA ANAKOTAKA
Uongozi wa Simba umemuwashia taa ya kijani beki wake wa kulia Hassan Kessy baada ya nyota huyo kusema hatoendelea kutoa huduma yake kwenye klabu...
KING KIBADENI AKUBALI MZIKI WA YANGA
Mshauri wa benchi la ufundi la timu ya JKT Ruvu kocha mzoefu Abdallah Kibadeni ‘King Kibadeni’ amekiri timu yake ilizidiwa na Yanga kwenye mchezo...
KAMA NI OMOG UELEKEO WA SIMBA SC NI HUU, MAYANJA+MAYANGA NI BORA KULIKO…
Na Baraka Mbolembole
KUZUNGUKA huku na huko kusaka kocha kisha kuangukia kwa Mcameroon, Joseph Omog ni sawa na kushindwa mapema vita ya msimu ujao.
Nafikiri Simba...
Neno la Kichuya kwa mashabiki wa Simba
Kichuya amefunga goli lake la kwanza kwenye mchezo wa watani wa jadi tangu asajiliwe Simba kwenye dirisha la usajili lililopita, huu ni msimu wake...