Je Emiliano Sala na rubani Wapo hai?
Mambo bado yanaizid kuwa magumu kuhusiana na jibu la moja kwa moja kama Emiliano na rubani wake wapo hai ama lah. Inauma sana na...
‘Uchebe’ kupima mashine 3 SportPesa
Kocha wa Simba Patrick Aussems amesema wachezaji watatu wanaofanya majaribio kwenye kikosi chake wataanza kutumika leo kwenye mashindano ya SportPesa ili kutoa nafasi kwa...
Dauda vs Geoff Lea & Maeda kuhusu Barca kumsajili Boateng
Baada ya Barcelona kumsajili Kevin Prince Boateng raia wa Ghana, mijadala imekuwa mingi sana kila mmoja akiwa na mtazamo wake binafsi.
Swali kubwa linaloulizwa ni...
Barcelona inakwama wapi?
Ukitazama jezi ya Barcelona kwenye sehemu ya 'beji' ya klabu kuna maneno ya kihispania ambayo tafsiri yake ina maana ya maneno haya 'ZAIDI YA...
Timu za Kenya zimetuzidi, tusitafute mchawi
Timu mbili za Kenya (Bandari FC na Kariobangi Sharks) zimefuzu nusu fainali ya SportPesa Cup baada ya kushinda mechi zao dhidi ya timu za...
Zahera Mwinyi aitaka Simba ishinde ubingwa SportPesa
Wawakilishi wawili wa Tanzania kwenye michuano ya SportPesa iliyoanza leo wamefungishwa virago baada ya kupoteza michezo yao waliyocheza leo. Singida walifungwa 1-0 na Bandari...
“Tulipanga kucheza fainali SportPesa”-Zahera Mwinyi
Baada ya Yanga kuondoshwa kwenye michuanonya SportPesa 2019 kwa kufungwa 3-2 na Kariobangi Sharks ya Kenya, kocha wa Yanga Zahera Mwinyi amesema safari ya...
Shabiki wa Chelsea asusa kuangalia mechi hadi Sarri atakapofukuzwa
Mwandishi wa habari za michezo Tanzania, Abdul Mkeyenge ambaye pia ni shabiki wa Chelsea ametoa maoni yake kuhusu mwenendo wa The Blues kwenye ligi...
Tulikutana na kisiki”-Rais Simba
Mwenyekiti wa klabu ya Simba Sweddy Mkwabi amesema benchi la ufundi litafanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza kwenye mchezo wao dhidi ya AS Vita ili kuhakikisha...
“Kichapo cha AS Vita ni darasa kwa Simba”-Patrick Aussems
Kocha wa Simba kupitia ukurasa wake wa Twitter @PatrickAussems amesema kichapo cha mabao 5-0 kutoka kwa AS Vita kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa...
Zahera afunguka baada ya kuonja machungu ya msimu
Kocha mkuu wa Yanga Zahera Mwinyi baada ya Stand United kuwa timu ya kwanza kuifunga Yanga msimu huu amesema hajaona kitu cha ajabu kilichofanywa...
Chilunda atolewa kwa mkopo Hispania
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Shaabani Idd Chilunda ametolewa kwa mkopo na klabu yake CD Tenerife kwenda Club Deportivo Izarra kwa kifupi CD Izarra...
Heeh! Kumbe Masoud Kipanya aliacha soka kisa KATUNI!
Ebwana mkali wa kuchora cartoons Masoud Kipanya 'KP' inawezekana kabisa kama isingekuwa issue za uchoraji basi pengine angekuwa bonge la mchezaji wa enzi hizo...
London Derby: Arsenal vs Chelsea
Arsenal Vs Chelsea, mchezo huu utapigwa katika dimba la Fly Emirates, majira ya saa 20:30 usiku.
Mara ya kwanza
Chelsea 2–1 Arsenal
1907–08 Football League
(9 Nov 1907)
Mechi...
Kwa heri Petr Cech GLOVES zako zitaendelea kukumbukwa Darajani
Wakati zilipovuja taarifa za golikipa wa Jamhuri ya Czech ambaye alikuwa asajiliwe na klabu ya Manchester United atakwenda Chelsea kwa sababu mtu ambaye alikuwa...
Maxime apokea kipigo kwa mikono miwili
Kocha wa Kagera Sugar Mecky Maxime amesema wamepoteza mchezo (3-2) dhidi ya African Lyon kwa sababu walifanya makosa mengi.
"Mechi ilikuwa ngumu lakini tumepoteza kutokana...
Wakongwe waibeba African Lyon
African Lyon imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara uliohezwa uwanja wa Uhuru.
Kocha msaidizi...
Masau Bwire aivimbia Azam
Afisa habari wa Ruvu Shooting Masau Bwire amesema uwezo wa Azam uliooneshwa kwenye mchezo wa leo ni mdogo na kusema kama timu yake ingepata...
Azam yapigwa ‘pin’ Mlandizi
Azam imelazimishwa suluhu na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania bara kwenyeuwanja wa Mabaini, Mlandizi-Pwani.
Kocha msaidizi wa Azam Juma Mwambusi amesema hali...
Monaco vs Nice ni vita ya watoto wa Wenger Ufaransa
Kwa wale waliowahi kuiona Arsenal katika ubora wake miaka ya 1996 mpaka 2004 kwenye kikele cha kikosi kikichopachikwa jina la 'The invisible' baada ya...