JKT RUVU YATEMA RASMI TAJI, COASTAL YATINGA ROBO FAINALI, ‘MBEYA DERBY’ KUNOGESHA FA CUP...
Na Baraka Mbolembole
Mabingwa watetezi wa kombe la FA timu ya JKT Ruvu ya Pwani 'imeutema' rasmi ubingwa wa michuano hiyo baada ya kukubali kipigo...
KAMUSOKO AMEANDIKA UJUMBE MZURI KUM-WISH MKEWE HAPPY BIRTHDAY
Leo Julai 26 mke wa kiungo wa Yanga Thaban Kamusoko anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa (birthday), katika kuona umuhimu huo, mumewake (Kamusoko) ameandika ujumbe...
MKWARA MZITO!! MADIWANI MBEYA MARUFUKU KUSAFIRI NA MBEYA CITY
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makala amepiga marufuku Madiwani kutumia fedha za serikali kusafiri na timu Ya Mbeya City, Makala amesema hayo ni...
PICHA 20: NDONDO CUP ILIVYOTOKA USWAZI NA KUTINGA UBALOZI WA CHINA
Alhamisi August 4, mashindano ya soka la mchangani 'Ndondo' yalipiga hatua nyingine baada ya kutoka uswazi na kutinga katika ubalozi wa China nchini Tanzania...
TIMU KUBWA 6 ZA ULAYA ZENYE VIWANJA KAMA CHA AZAM
Na Athumani Adam
Miongoni mwa habari kwenye soka hapa nchi ni suala la Azam kucheza mechi dhidi ya timu kongwe Simba na Yanga kwenyye uwanja...
Video: USO KWA USO NA PAUL NONGA NDANI YA STUDIO ZA CHOICE FM
Leo katika kipindi cha Vuruga cha Choice FM kilitembelewa na mgeni kwa ajili ya mahojiano. Mgeni huyo si mwingine bali ni Paul Nonga mchezaji...
Samatta vs Karelis Nikolous: Hivi ndivyo namba 77 vs 7 zinavyoshindana nchini Ubeligiji
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta bado hajakuwa na wakati mgumu na Timu yake ya KRC GENK inayoshiriki ligi kuu Ubeligiji Pro League...
BAADA YA UKWEPAJI KODI, MESSI ADONDOKEA KWENYE KASHFA YA MAPENZI
Nyota wa Barcelona na Argentina Leo Messi amepata kashfa kubwa baada ya modo wa Kiargentina Xoana Gonzalez kufichua siri nzito na ya muda mrefu...
PICHA: YANGA WALIVYOIACHA ARDHI YA BONGO KUIFATA APR
Kikosi cha Yanga tayari kimeondoka jijini Dar es Salaam kuelekea Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika dhidi ya...
KUFUNGWA NOMA SANA, CHIFU WA KAUZU KALOWA ‘CHAPACHAPA…’
Chifu wa Kauzu ni shabiki wa Ndondo ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na style zake za ushangiliaji huku akipata mashabiki wengi wanaopenda vituko na...
HII NDIYO MO BEJAIA ITAKAYOKUTANA NA YANGA KWENYE MCHEZO WA KWANZA HATUA YA MAKUNDI
Na Mahmoud Rajab
Kuelekea kinyang'anyiro cha kuwania kombe la Shirikisho barani Afrika, ambapo mabingwa wa Soka Tanzania Bara Yanga wamo pia, tunakuletea mfululizo wa wasifu...
ROMANIA YAGUNDUA MBINU MPYA ZA KUFUNDISHA HISABATI KWA KUTUMIA SOKA
Timu ya taifa ya Romania imekuja na wazo la kuwasaidia watoto wa nchi hiyo kuhakikisha wanafanya vizuri kwenye somo la Hesabu baada ya kuchapisha...
‘Hatuwezi kushinda ubingwa, lakini si rahisi kutabiri bingwa VPL msimu huu-Vicent Barnabas’
Na Baraka Mbolembole
Kiungo mshambulizi mwenye uwezo wa kuchezanafasi ya beki namba 3,Vicent Barnabas amekiri ni ngumu kwa kikosi chao cha Mtibwa Sugar kuwaengua Simba SC katika kilele cha msimamo badaa ya kuachwa kwa pointi 14, lakini amesisitiza wataendelea kucheza michezo yao kwa...
Azam imefanikiwa kupata ushindi wa pili bila ‘Wahispania’
Azam FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Zimamoto katika mchezo wa Kundi B michuano ya Mazpinduzi Cup inayoendelea visiwani Zanzibar.
Goli pekee katika...
BWANA MDOGO ASHINDA URAIS CHAMA CHA SOKA KENYA
Nick Mwendwa ameibuka mshindi kwenye kinyang’anyiro cha urais wa shirikisho la soka la nchini Kenya (Football Kenya Federation-FKF).
Mwendwa amembwaga gwiji ambaye ni rais...
BAADA YA DILI LA KUHAMIA ARSENAL KUKWAMA, OLUNGA ASAJILIWA NA KLABU NYINGINE YA ULAYA
Mchezajiwa Kenya ambaye alikuwa na ndoto za kuchezea Arsenal ameamua kutimkia Sweden ambako amesaini mkataba wa miaka minne na klabu ya Djurgardens.
Michael Olunga mwenye...
Ajali 4 za Ndege zilizogharimu maisha ya wachezaji wengi zaidi Duniani
Story ya kuanguka kwa ndege iliyokuwa imebeba wachezaji wa klabu ya Chapecoense ya Brazil imechukua headlines kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii...
Azam imekamilisha idadi ya timu 3 zilizowasili Zanzibar
Azam imekamilisha idadi ya timu tatu kutoka Tanzania bara baada ya kuwasili Zanzibar leo jioni ikiwa ni muda mfupi tangu Yanga walipotia timu kwenye...
Hukumu ya Wambura pasua kichwa
Mhadhilizi wa sheria chuo kii cha Tumaini Dar es Salaam Edwin Mgandila ametoa maoni yake juu ya utaratibu uliotumika kusikiliza shitaka la wambura na...
Taarifa mpya kuhusu msiba wa mchezaji wa U20 wa Mbao FC aliyefariki uwanjani
Baada ya jana kijana Ismail Mrisho kufariki dunia uwanjani wakati akiitumikia klabu yake ya Mbao FC U20 dhidi ya Mwadui FC, taarifa kutoka mjini...